Zari Amaliza Sakata la Hamisa Mabetto Kwa Mtindo Huu...Habari Kamili Hii Hapa na Matukio360...#share
KWA muda wa miezi kadhaa kulikuwepo na Uvumi kuhusu Mwanamitindo Maarufu nchini Hamisa Mabetto kuwa na Ujauzito wa Msanii Nasibu Abdul ' Diamond'. Lakini Diamondi alipokuwa akiulizwa ukweli juu ya hilo alikataa.
Hata Hamisa alipojifungua bado Msani huyo wa Mziki wa kizazi kipya aliendelea kukana hadi jana alipokili wakati akihojiwa na Kituo cha Clouds FM kuwa mtoto wa Hamisa ni wake.
Aidha wakati akikili kuzaa na Hamisa alidai kuwa hata mzazi mwezie Zari anlifahamu suala hilo.
Lakini cha kushangaza Zari alikanusha hilo kupitia mitandao ya kijamii na kusema kuwa Diamond ni muongo na kumtaka asimchezee.
Kutokana na hali hiyo leo zari amelimaliza suala hilo kwa andiko hili katika ukurasa wake wa Facebook.
Hata Hamisa alipojifungua bado Msani huyo wa Mziki wa kizazi kipya aliendelea kukana hadi jana alipokili wakati akihojiwa na Kituo cha Clouds FM kuwa mtoto wa Hamisa ni wake.
Aidha wakati akikili kuzaa na Hamisa alidai kuwa hata mzazi mwezie Zari anlifahamu suala hilo.
Lakini cha kushangaza Zari alikanusha hilo kupitia mitandao ya kijamii na kusema kuwa Diamond ni muongo na kumtaka asimchezee.
Kutokana na hali hiyo leo zari amelimaliza suala hilo kwa andiko hili katika ukurasa wake wa Facebook.
No comments:
Post a Comment