Habari katika picha: Waziri Mkuu Majaliwa ziarani nchini Toronto..#share



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi waTanzania nchini Canada Mhe. Jack Zoka baada ya  kuwasili Toronto leo Oktoba 19, 2017 kwa ziara ya kikazi.






 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Canada Mhe. Jack Zoka baada ya kuwasili Toronto Oktoba 19, 2017 kwa ziara ya kikazi. Kulia ni mkewe Mama Mary Majaliwa. 

Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search