Kaimu Mkurugenzi Mkuu - TAWA atembelea Pori la Akiba Rungwa Leo tarehe 3/10/2017

Kaimu Mkurugenzi Mkuu TAWA Dkt. James Wakibara  ameendelea na  ziara ya kutembelea pori la Akiba Rungwa ikiwa ni mwendelezo wa kutembea vituo vyake vya TAWA na kujitambulisha kwa watumishi walioko chini yake kwani ni muda mfupi takriban miezi miwili tangu achaguliwe kuongoza TAWA.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu ameendelea kusisitiza TUNU za TAWA kuheshimiwa na watumishi wote ambazo ni: kufanya kazi kwa bidii(Dignity): kuendeleza uhifadhi(Intergrity): Ubunifu(Innovation): Kupimika(Accountability): Kushirikiana na wadau(Stakeholders involvement): na mwisho kuuliza mawasiliano(Ability to communicate).

Dkt. Wakibara(kulia)akiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ulinzi wa raslimali za wanyamapori Bw. Mabula Misungwi. Wakiwasililiza watumishi wa Rungwa


Picha tatu juu baadhi ya watumishi na askari wakimsikiza Kaimu Mkurugenzi Mkuu(hayupo pichani)

Askari wa pori la Akiba Rungwa/Muhesi/Kizigo


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search