Takribani watu zaidi 250 wauawa...soma habari kamili na Matukio360...#share
TAKRIBANI zaidi ya watu 250 wameuawa katika mashambulio mawili ya mabomu mjini Mogadishu, Somalia.
Sehemu ya mabaki ya mlipuko wa mabomu mjini Mogadishu, Somalia
Kufuatia hali hiyo,
Rais wa Somalia ametangaza siku tatu za maombelezo.
Hata hivyo uenda
idadi hiyo ikaongezeka kutokana na kuripotiwa kuwa wananchi wengi wamejeruhiwa
na kukimbizwa Hospitali.
Tukio hilo ambalo
limetokea katika ya mji wa Mogadishu limehusisha magari mawali likiwamo lori.
Yote yalikuwa na
vilipuzi na yalilibuka katika mtaa ambao
majeshi ya kimataifa(Amisomi) yanaweka ulinzi.
Hadi sasa
haijafahamika kundi lililohusika na tukio hilo na kwamba hilo ndilo shambulizi
baya zaidi kuwahi kutokea nchini Somalia tangu kundi la al-Shabab lianzishe
harakati zake mwaka 2007.
Tukio hilo linatokea
ikiwa ni siku chache baada kujiuzulu kwa waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo




No comments:
Post a Comment