Mitihani kidato cha pili, darasa la nne Novemba 24.. soma habari kamili na matukio360.. #share
Na Mwandishi wetu
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza mitihani ya upimaji wa wanafunzi wa kidato cha pili na darasa la nne. Akitangaza mtihani huo leo Jumapili, Katibu Mtendaji, Charles Msonde amesema mtihani wa kidato cha pili utafanyika kuanzia Novemba 24, 2017
Amesema wanafunzi 521,855 wa kidato cha pili wamesajiliwa kufanya mtihani huo. Amesema mtihani wa darasa la nne utafanyika kuanzia Novemba 22 hadi 23 2017 na wanafunzi 1,195,970 wamesajiliwa kufanya mtihani huo.
Bwana Msonde amesema maandalizi ya mitihani hiyo yamekamilika
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza mitihani ya upimaji wa wanafunzi wa kidato cha pili na darasa la nne. Akitangaza mtihani huo leo Jumapili, Katibu Mtendaji, Charles Msonde amesema mtihani wa kidato cha pili utafanyika kuanzia Novemba 24, 2017
Amesema wanafunzi 521,855 wa kidato cha pili wamesajiliwa kufanya mtihani huo. Amesema mtihani wa darasa la nne utafanyika kuanzia Novemba 22 hadi 23 2017 na wanafunzi 1,195,970 wamesajiliwa kufanya mtihani huo.
Bwana Msonde amesema maandalizi ya mitihani hiyo yamekamilika
No comments:
Post a Comment