Droo Kombe la Dunia 2018 kufanyika Disemba 1 Urusi...soma habari kamili na Matukio360...#share
Na mashirika ya kimataifa
BAADA ya mataifa 32
kufanikiwa kufuzu fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwakani nchini
Urusi, droo ya kupanga makundi ya timu hizo itafanyika Ijumaa ya Desemba 1
mjini Moscow.
Kuelekea zoezi hilo baadhi ya
timu ambazo zimepangwa kundi moja ni kundi la kwanza ambalo lina timu mwenyeji
Urusi, Ujerumani, Brazil, Ureno, Ajentina, Ubelgiji, Poland na Ufaransa.
Afrika inawakilishwa na Misri, Nigeria, Morocco,
Tunisia na Senegal.
Na kuelekea fainali hizo FIFA wamesema mpaka sasa kuna
maombi milioni 3.5 ya tiketi na walioomba wengi wao ni wenyeji Urusi.
Makundi Kombe la Dunia yalivyopangwa
Kundi 1 Kundi 2 Kundi
3
Kundi 4
Urusi (wenyeji) Uhispania
(8) Denmark (19) Serbia (38)
Ujerumani (1) Peru
(10) Iceland (21) Nigeria (41)
Brazil (2) Uswizi
(11) Costa Rica (22) Australia (43)
Ureno (3) England
(12) Sweden (25) Japan (44)
Argentina (4) Colombia
(13) Tunisia (28) Morocco (48)
Ubelgiji (5) Mexico
(16) Misri (30) Panama (49)
Poland (6) Uruguay
(17) Senegal (32) Korea Kusini (62)
Ufaransa (7) Croatia
(18) Iran (34) Saudi Arabia (63)
No comments:
Post a Comment