Professa Kitila Mkumbo ajiunga rasmi CCM...Soma habari kamili na Matukio360... #share


Na mwandishi wetu
ALIYEKUWA mshauri mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Professa Kitila Mkumbo amejiunga rasmi CCM.
Akitoa taarifa hizo leo mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida, Martha Mlata amesema Kitila ambaye kwa sasa ni katibu mkuu  wizara maji na umwagiliaji amejiunga na CCM mkoani Singida





About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search