Lipumba abwagwa mahakamani...soma habari kamili na matukio360..#share
KUTOKA MAHAKAMA KUU LEO:
Mbele ya Mheshimiwa Jaji Wilfred Dyansobera Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na Lipumba na wenzake katika kesi ya RITA kuhusu Bodi ya Wadhamini.
Jaji ameeleza kuwa Mahakama imejiridhisha kuwa mapingamizi yote yaliyowasilishwa hayana nguvu za Kisheria.
Taarifa hiyo imetolewa na Mbarala Maharagande NaibuMkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mawasiliano na Umma
The Civic United Front (CUF
Mbele ya Mheshimiwa Jaji Wilfred Dyansobera Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na Lipumba na wenzake katika kesi ya RITA kuhusu Bodi ya Wadhamini.
Jaji ameeleza kuwa Mahakama imejiridhisha kuwa mapingamizi yote yaliyowasilishwa hayana nguvu za Kisheria.
Taarifa hiyo imetolewa na Mbarala Maharagande NaibuMkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mawasiliano na Umma
The Civic United Front (CUF



No comments:
Post a Comment