Magazeti ya Leo 1/12/2017...soma magazeti na matukio360...#share

Nyoosha nyoosha ya JPM ikiendelea; Takukuru yawanyoosha vigogo,.. Nyavu za billion 292 zanaswa,.. TRA yapiga mnada mali za mabilionea.. Serikali yatoa neno biashara ya utumwa Libya.. utata watawala watoto 1,300 kutoweka Kibiti.. wafanyabiasha wa Madini wapigwa 'mvua' mmahakamani. na Katibu wa Bunge ahoji stahili za Tundu Lissu.. katika Michezo: Yanga yapata dawa ya Ngoma,.. Dili la Mo Simba limetiwa doa.. na katika Udaku: Hamisa Mobeto ambwaga Zari, Ze Boss Lady.. 

























About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search