Majimaji yampa tuzo Waziri Makamba...Soma habari kamili na Matukio360..#share
Mwenyekiti kamati ya Ufundi, Stephen Mapunda kutoka timu ya Majimaji
akimkabidhi tuzo maalumu Waziri Makamba kwa kutambua mchango wake katika kukuza
timu yao na kuwasaidia kupata ufadhili. Wengine ni Mwenyekiti Stephen, Ngonyani na Shabiki wa timu hiyo, Vian Nchimbi.
Viongozi wa timu ya Majimaji wakiwa katika picha ya pamoja
mara baada ya kukabidhi tuzo aalumu kwa Waziri Makamba kwa kutambua mchango
wake katika kukuza timu yao na kuwasaidia kupata ufadhili. Kushoto ni
Mwenyekiti wa Timu hiyo Stephen Ngonyani, Mwenyekiti Kamati ya Ufundi Stephen Mapunda na shabiki wa timu hiyo Vian
Nchimbi.

Viongozi wa Timu ya Majimaji wakiwa Ofisi kwa Waziri Makamba.

Viongozi wa Timu ya Majimaji wakiwa Ofisi kwa Waziri Makamba.
No comments:
Post a Comment