Mugabe aonekana hadharani...Soma habari kamili na Matukio360..#share
Na Mashirika ya kimataifa
BAADA ya kuwekwa kizuizini kwa siku kadhaa na jeshi la Zimbabwe, Rais Robert Mugabe ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza akiwa katika mji mkuu Harare.
BAADA ya kuwekwa kizuizini kwa siku kadhaa na jeshi la Zimbabwe, Rais Robert Mugabe ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza akiwa katika mji mkuu Harare.
Rais Robert Mugabe
Rais Mugabe amekuwa chini ya kuzuizi cha nyumbani huku kukiwa na
mvutano kuhusu ni nani atamrithi.
Jeshi limesema lilikuwa kwenye mazungumzo na rais huyo na
litaujulisha umma kuhusu matokeo ya mazungumzo hayo haraka iwezekanavyo.
Jeshi lilichukua madaraka baada ya Mugabe kumfuta kazi Makamu wa
Rais, Emmerson Mnangagwa wiki iliyopita, na kuashiria kuwa alimpendelea mkewe
kuweza kuchukua uongozi wa Zanu-PF na urais.
No comments:
Post a Comment