Nape Nnauye avunja ukimya atoa la moyoni...soma habari kamili na matukio360..#share
Na Abraham Ntambara
MBUNGE wa Mtama(CCM) ,Nape Moses Nnauye amesema atokihama Chama cha Mapinduzi(CCM) na badala yake ataendelea kukisoa akiwa ndani na si nje ya chama hicho.
Nape Nnauye, kushoto akiwa na Lazaro Nyalandu katikati na katibu mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana
Nape anatoa kauli hiyo ikiwa ni siku chache baada ya aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki, Lazaro Nyalandu kujiuzulu Ubunge na kung'atuka CCM akisema pamoja na mambo mengine CCM imeshindwa kuidhibiti serikali.
katika kubadili Imani kienyeji. Nitasghulikia MAPUNGUFU nikiwa ndani sio NJE"
Andiko hilo linaashiria kuvunja ukimya na kudhihirisha kwamba Nnape ambaye aliwahi kuwa waziri wa habari na michezo hatong'oka CCM
No comments:
Post a Comment