NEC yateuwa madiwani wapya watatu...soma habari kamili na Matukio360..#share

Na Mwandishi wetu
TUME ya Taifa ya Uchaguzi(Nec) imewateuwa madiwani wapya watatu wa viti maalum kutoka Chadema.




Madiwani hao ni  Maimuna Mpogole halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Rehema Mbetwa halmshauri ya Manispaa ya Iringa na Anna Mandary halmashauri ya Ngorongoro.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search