Spika Ndugai awasilisha barua NEC kujiuzulu Nyalandu


OFISI ya Bunge  imemuandikia rasmi barua  Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya  Uchaguzi (NEC), Jaji Msaafu Semistocles Kaijage kumfahamisha kuwa Jimbo la Singida Kaskazini liko wazi baada ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Lazaro Nyalandu kufutwa uanachama na Chama cha Mapinduzi (CCM) Oktoba 30, 2017.




About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search