Magazeti ya Leo 06/12/2017...soma magazeti na matukio360...#share

NI MTIKISIKO: Wamebainishwa Wabunge 9 kutoka U K A W A wanaohamia CCM.. Polisi Dar waua majambazi watatu.. Mwanafunzi UDSM akamatwa 'kwa kusambaza picha mpasuko Hosteli za JPM'.. Bomoabomoa ya mwendokasi yanukia Mbagala.. Mwinyi atinga Nairobi kwa Lissu,.. JPM asisitiza ajira 10,000 kwa Watanzania.. Siri ya Wema kurudi CCM yafichuka.. Wanafunzi 2,600 washinda rufaa Bodi ya Mikopo.. 'Simba More' yaja na kikosi cha Bilioni 1.. mwenyewe asema Itapendeza... Juuko atua mikononi mwa Yanga.. na Liverpool kukwaa kigogo FA Cup.. 





























About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search