Magazeti ya leo 14/12/2017: Soma magazeti kupitia matukio360.com #share

MCHANA KWEUPE: Mganda anaswa na dola milioni 1 airport.. JPM aziweka kikaangoni taasisi za kifedha; aapa kuilinda shilingi ya Tanzania.. Lembeli amfunda Kigwangala; yeye alikoroga tena Zanzibari.. HUZUNI:  wafungwa wa msamaha wa Rais wakuta wake zao wamekufa.. ITAPENDEZA: Simba, Yanga kuanza nyumbani CAF 2018; na MO Ibrahim afiwa na mtoto wake.. 


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search