Magazeti ya leo 02/12/2017: Pata Uchambuzi wa kina kupitia matukio360.. #share

Wema aamua kurudi CCM; Polepole amkana.. asema si daladala.. Ziara ya JPM Bandari yamng'oa kigogo mwengine.. mtuhumiwa wa usagaji adakwa na Polisi.. aliwekewa 'figo mpya' Muhimbili aibua mazito.. Siri ya mwisho mauaji ya Kibiti; sakasaka ya watoto 1,300 imeanza.. katizo la umeme  Tanesco wawekwa kikaangoni.. Simba yarejea enzi za 2003.. Yanga nayo yanasa straika 'kibabe'.. na katika Udaku: Penny 'wa Diamond' aibuka na kunena: "imeniuma sana kuambiwa nimeua"..



About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search