Mbunge Nassari avamiwa, risasi zalindima...soma habari kamili na matukio360..#share


Na Mwandishi Wetu.

MBUNGE wa Arumeru Mashariki (Chadema) Joshua Nassari usiku wa kuamkia leo amedai kuvamiwa na watu wenye silaha nyumbani kwake maeneo ya USA River.

Mbunge wa Arumeru mashariki Joshua Nassari akihutubia wananchi katika moja ya mikutano ya hadhara.

Kupitia ukurasa wake wa twitter Nassari amedai watu hao walifyatua risasi ambazo zimeua mbwa waliokuwepo nje ya nyumba.

"Nimefanikiwa kukimbia na mke wangu na kuripoti kituo cha polisi," amesema.

Amedai kuwa amekuwa akitishiwa kuuawa kila siku na kwamba amekuwa hana amani ndani ya nchi yake.




About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search