Tundu Lissu akaa kwa mara ya kwanza...soma habari kamili na matukio360..#share
Na mwandishi wetu, Dar es salaam
HALI ya kiafya ya mwanasheria mkuu wa chama cha Chadema, Tundu Lissu inaendelea kuimarika na sasa ameanza kukaa mwenyewe.
Hatua hiyo ni muendelezo wa kuimarika kwa afya yake,Disemba 26,2017 alitangaza kusimama kwa msaada wa wahudumu wa hospitali Nairobi nchini Kenya anakopatiwa matibabu baada ya kupigwa risasi mwezi Septemba mjini Dodoma.
Tundu Lissu
Leo katika ukurasa wake wa Instagram Lissu ambaye pia ni mbunge wa Singida Mashirika ameandika:
"Ninawashukuru kwa sala na maombi yenu. Sasa ninaweza kukaa bila ya kuegemea kitu!!!"
HALI ya kiafya ya mwanasheria mkuu wa chama cha Chadema, Tundu Lissu inaendelea kuimarika na sasa ameanza kukaa mwenyewe.
Hatua hiyo ni muendelezo wa kuimarika kwa afya yake,Disemba 26,2017 alitangaza kusimama kwa msaada wa wahudumu wa hospitali Nairobi nchini Kenya anakopatiwa matibabu baada ya kupigwa risasi mwezi Septemba mjini Dodoma.
Tundu Lissu
Leo katika ukurasa wake wa Instagram Lissu ambaye pia ni mbunge wa Singida Mashirika ameandika:
"Ninawashukuru kwa sala na maombi yenu. Sasa ninaweza kukaa bila ya kuegemea kitu!!!"




No comments:
Post a Comment