Wataalam EAC wakutana kujadili maendeleo...soma habari kamili na matukio360..#share

Na mwandishi wetu
MKUTANO wa kazi wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhusu maendeleo ya miundombinu ya uchukuzi, nishati na maendeleo ya sekta ya afya unaendelea mjini Kampala, Uganda



Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Hamisi  Mwinyimvua, Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mhandisi Joseph Nyamhanga, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Gerson Mdeme, Katibu Mkuu Wizara ya Sheria na Katiba, Profesa Sifuni Mchome pamoja na Mkurugenzi wa Siasa na Usalama kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Steven Mbundi.



Katika mkutano huo makatibu wakuu na wataalam wanaendelea na majadiliano ya masuala mbalimbali.

Baadaye leo, makatibu wakuu wanatarajiwa kutia saini makubaliano yatakayoafikiwa.




Mkutano  wa wataalam ukiendelea jijini Kampala, Uganda

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search