Gavana mteule azungumza na waziri wa fedha... angalia picha na matukio360...#share
Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Philip Mpango
(Mb) akiwa katika mazungumzo na Gavana mteule wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
Prof. Florens Luoga, ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
Gavana mteule wa Benki
Kuu ya Tanzania (BoT) Prof. Florens Luoga, akisaini kitabu cha wageni
alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Philip
Mpango (Mb), Jijini Dar es Salaam
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
Wizara ya Fedha na Mipango)
No comments:
Post a Comment