Tecno kuzindua simu mpya...soma habari kamili na matukio360...#share
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KAMPUNI ya Simu za mkononi
ya Tecno inatarajia kuzindua toleo jipya la simu.
Uzinduzi huo ni utaratibu kwa
kila mwaka, kampuni ya TECNO kuzindua simu mpya na hua ni muendelezo wa matoleo
yaliopita.
Kwa mwaka huu TECNO
wanaachilia simu ikiwa ni muendelezo wa simu aina ya CAMON. Camon imekua moja
wapo ya simu janja (smartphone) pendwa sana kwa wadau kwa mwaka 2017!
Wanatarajia kuitoa simu
hiyo ndani ya mwezi(Januari – Machi) 2018 na itakuwa ni simu ya
kipekee kwa kuwa ina vigezo maalumu kulinganisha na simu zingine zilizopita
kabla
Kadri miaka inavyosogea na
kuendelea teknolojia ya simu, miundo ya simu, vigezo, mahitaji na matumizi ya
simu hubadilika na kuongezeka, hivyo kama kampuni imekua ni jambo muhimu kuweza
kutoa simu zinazokidhi mahitaji ya wadau na watumiaji wa
bidhaa zake hivyo kutoa toleo jipya kabisa!

Je, ni simu gani na itakua
na vigezo/muundo gani?
Fuatilia kurasa za TECNO
katika mitandao ya kijamii na tovuti yao kujua zaidi!
No comments:
Post a Comment