Waziri Mwakyembe aunda kamati....soma habari kamili na matukio360..#share

Na mwandishi wetu, Dar es salaam
WAZIRI wa habari, utamaduni, sanaa na michezo, Dk Harrison Mwakyembe ameunda kamati ya watu 11 itakayokusanya maoni, kupitia upya katiba na kuunda chombo kitakachosimamia mchezo  wa ngumi za kulipwa nchini.


Wajumbe wa kamati ya kupitia upya katiba, kukusanya maoni na kuunda chombo kitachosimamia mchezo wa ngumi za kulipwa nchini.



About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search