Zimamoto Geita waokoa mamilioni ya fedha..soma habari kamili na matukio360...#share
Na mwandishi wetu, Geita
ASKARI wa jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Geita wameokoa fedha takribani milioni nane pamoja na vitu mbalimbali katika zoezi la kuzima moto uliokuwa ukiteketeza nyumba
Mamilioni ya fedha yaliyokuwa yakiteketea kwa moto mkoani Geita eneo la Katoro, yakiokolewa.
Nyumba hiyo inayomilikiwa na Magdalena Bujashi( 46) iliyopo eneo la Katoro Mkoani Geita iliripotiwa kushika moto na taarifa za moto huo kufika ofisi za Jeshi la Zimamoto Mkoa wa Geita saa mbili na dk 20 asubuhi ya jana Januari 19, 2018 kwa njia ya Simu.
Kikosi hicho kilifanikiwa kuudhibiti moto moto pamoja na kuokoa kiasi hicho cha pesa na hakukuwa na madhara kwa binadamu.
Askari wa zimamoto wakizima moto
Vitu vilivyoteketea kwa moto
ASKARI wa jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Geita wameokoa fedha takribani milioni nane pamoja na vitu mbalimbali katika zoezi la kuzima moto uliokuwa ukiteketeza nyumba
Mamilioni ya fedha yaliyokuwa yakiteketea kwa moto mkoani Geita eneo la Katoro, yakiokolewa.
Nyumba hiyo inayomilikiwa na Magdalena Bujashi( 46) iliyopo eneo la Katoro Mkoani Geita iliripotiwa kushika moto na taarifa za moto huo kufika ofisi za Jeshi la Zimamoto Mkoa wa Geita saa mbili na dk 20 asubuhi ya jana Januari 19, 2018 kwa njia ya Simu.
Kikosi hicho kilifanikiwa kuudhibiti moto moto pamoja na kuokoa kiasi hicho cha pesa na hakukuwa na madhara kwa binadamu.
Askari wa zimamoto wakizima moto
Vitu vilivyoteketea kwa moto
No comments:
Post a Comment