Chelsea, Barcelona hakuna mbabe, Buyern Munich yaangamiza....soma habari kamili na matukio360...#share
Na mashirika ya kimataifa
CHELSEA na Barcelona zimetoshana nguvu kwa kufungana 1-1 huku Buyern Munich ikiichapa Besiktas 5-0 katika mechi za kwanza mzunguko wa 16 mashindano ya klabu bingwa barani Ulaya.
Messi bhana!!!!!
Lionel Messi akiwatoka wachezaji Chelsea
Kunako dakika ya 62 William aliiandikia Chelsea bao la kuongoza lakini dakika 15 baadaye yaani dakika ya 75 Lionel Messi aliisawazishia Barcelona. Alifunga kutokana na makosa yaliyofanywa beki wa Andreas Christensen.
CHELSEA na Barcelona zimetoshana nguvu kwa kufungana 1-1 huku Buyern Munich ikiichapa Besiktas 5-0 katika mechi za kwanza mzunguko wa 16 mashindano ya klabu bingwa barani Ulaya.
Messi bhana!!!!!
Lionel Messi akiwatoka wachezaji Chelsea
Kunako dakika ya 62 William aliiandikia Chelsea bao la kuongoza lakini dakika 15 baadaye yaani dakika ya 75 Lionel Messi aliisawazishia Barcelona. Alifunga kutokana na makosa yaliyofanywa beki wa Andreas Christensen.
Hata hivyo kocha wa Chelsea, Antonio Conte amemtetea beki huyo na anaamini timu yake itafanya vizuri katika mechi ya marudio katika uwanja wa Nou Coump, Hispania
Nayo Buyern imetoa kipigo cha mbwa mwizi cha bao 5-0, Thomas Muller alifungua idadi hiyo ya magoli. Aliingia nyavuni kunako dakika ya 43 na 66, Kingslyes Coman dakika 52 na Robert Lewandowsksi dakika 79 na 88






No comments:
Post a Comment