Jacob Zuma kung'olewa madarakani leo?....soma habari kamili na matukio360...#share
Na mashirika ya kimataifa
KIONGOZI wa Chama tawala nchini Afrika kusini cha ANC, Cyril Ramaphosa amethibitisha kuwa leo chama kitafanya uamuzi wa mwisho juu ya hatma ya rais Jacob Zuma.
Jacob Zuma
KIONGOZI wa Chama tawala nchini Afrika kusini cha ANC, Cyril Ramaphosa amethibitisha kuwa leo chama kitafanya uamuzi wa mwisho juu ya hatma ya rais Jacob Zuma.
Jacob Zuma
Akizungumza katika mkutano wa hadhara mjini Cape Town jana, Ramaphosa amedokeza kuwa rais Zuma atatakiwa kujiuzulu.
Amesisitiza kuwa wala rushwa wote wanatakiwa kufikishwa katika vyombo vya sheria, kitu ambacho anasema Nelson Mandela, baba wa taifa hilo angekitaka.
Ramaphosa alikuwa akizungumza katika kumbukumbu ya miaka 28 toka Rais wa kwanza mzalendo nchini humo Nelson Mandela alipolihutubia taifa, mara tu baada ya kuachiwa gerezani.
No comments:
Post a Comment