Na mwandishi wetu, Dar es salaam
RAIS John Magufuli leo Februari 3, 2018 atawatunuku kamisheni maafisa wapya wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais na Amir Jeshi Mkuu, Dk John Magufuli akiwa na mkuu wa majeshi mstaafu, Davis Mwamunyange
No comments:
Post a Comment