Simba yashinda, Okwi tena.... soma habari kamili na matukio360...#share
Na Mwandishi Wetu
TIMU ya Simba imeibuka
na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya timu ya Gendarmerie ya Djibout katika mchezo wa
marudiano wa kombe la shirikisho barani Afrika uliochezwa nchini Djibout.
Emanuel Okwi
Emanuel Okwi
Goli la Simba
limefungwa na mshambuliaji Emmanuel Okwi dakika ya 55 kipindi chapili. Na kwa
matokeo hayo wekundu hao wa Msimbazi wanasonga hatua ya pili ya mashindano kwa
jumla ya magoli 5-0.
Itakumbukwa katika
mchezo wa kwanza uliochezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
ilishindwa magoli 4-0 yalifungwa na John Bocco aliyefunga mawili, Emmanuel Okwi
moja na Said Ndemla moja.
Hivyo katika hatua
inayofuata Simba itakutana na klabu ya Al-Masry ya nchini Misri .
Kikosi kilichocheza cha Simba





No comments:
Post a Comment