Waziri Kigwangalla atoa notisi siku 30 waliovamia kiwanja....soma habari kamili na matukio360....#share

Na mwandishi wetu, Arusha

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangalla ametoa notisi ya siku 30 kwa waliovamia katika kiwanja chenye hati namba 4091 kilichopo Njiro Arusha.


Waziri wa Maliasili na Utalii Dk Hamis Kigwangalla

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search