Lowassa, Mbowe washiriki ibada ya matawi...soma habari kamili na matukio360...#share
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowasssa, leo Wameshiriki ibada ya Jumapili ya Matawi KKKT Azania Front Posta ya zamani Dar es salaam
Ibada ya Jumapili ya Matawi huadhimishwa wiki moja kabla ya Sikukuu ya Pasaka.
No comments:
Post a Comment