Magufuli kuapisha mabalozi...soma habari kamili na matukio360...#share

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

RAIS John Magufuli kesho atawaapisha mabalozi wateule wawili aliowateua kuiwakilisha Tanzania katika nchi za Rwanda na Urusi.
Rais John Magufuli

Kwa mujibu wa taarifa ya katibu mkuu kiongozi Balozi John Kijazi iliyotolewa leo imeeleza rais Magufuli atawaapisha IGP-Mstaafu Ernest Jumbe Mangu kuwa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda na Meja Jenerali Mstaafu Simon Marco Mumwi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search