Mtanange Simba Vs Yanga Aprili 29.....soma habari kamili na matukio360...#share
Na mwandishi wetu, Dar es salaam
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kupitia Mtendaji Mkuu wa bodi hiyo, Boniface Wambura leo imetangaza rasmi tarehe ambayo Watani wa Jadi (Simba SC na Yanga SC) zitacheza mchezo wa pili wa marudiano wa ligi kuu ya soka Tanzania bara (VPL)
Boniface Wambura
Pamoja na mechi nyingine ambazo leo zimetolewa ratiba yake rasmi, Wambura alitangaza rasmi sasa mtanange wa watani hao utafanyika Aprili 29, 2018 jijini Dar es salaam katika uwanja wa taifa.
Ratiba kamili;
Aprili 3; Njombe Mji FC Vs Simba
Aprili 9; Mtibwa vs Simba
Aprili 20; Lipuli FC vs Simba
Aprili 29; Simba vs Yanga
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kupitia Mtendaji Mkuu wa bodi hiyo, Boniface Wambura leo imetangaza rasmi tarehe ambayo Watani wa Jadi (Simba SC na Yanga SC) zitacheza mchezo wa pili wa marudiano wa ligi kuu ya soka Tanzania bara (VPL)
Boniface Wambura
Pamoja na mechi nyingine ambazo leo zimetolewa ratiba yake rasmi, Wambura alitangaza rasmi sasa mtanange wa watani hao utafanyika Aprili 29, 2018 jijini Dar es salaam katika uwanja wa taifa.
Ratiba kamili;
Aprili 3; Njombe Mji FC Vs Simba
Aprili 9; Mtibwa vs Simba
Aprili 20; Lipuli FC vs Simba
Aprili 29; Simba vs Yanga
No comments:
Post a Comment