Magufuli ateua katibu tawala Tabora...soma habari kamili na matukio360...#share

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

RAIS John Pombe Magufuli amemteua Msalika Robert Makungu kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Makungu anachukua nafasi ya Dk. Thea Ntara ambaye amestaafu.

Uteuzi wa  Makungu unaanzia tarehe 20 Aprili, 2018 na tarehe ya kuapishwa kwake itapangwa baadaye.


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search