TPB yaikabidhi TEF sh.milioni 2 maandalizi mkutano mkuu...soma habari kamili na matukio360...#share


Meneja wa mawasiliano wa Benki ya TPB, Chichi Banda (kulia), akimkabidhi Mfano wa hundi ya Sh.milioni 2 Kwa mratibu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Anita Kosuri, kwa ajili ya kusaidia maandalizi ya mkutano mkuu wa wahariri Tanzania utakaofanyika hivikaribuni mkoani Morogoro. (Na Mpigapicha Wetu). 




About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search