Sugu aachiwa huru...soma habari kamili na matukio360...#share

Na Mwandishi Wetu, Mbeya
MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na Katibu wa Chadema Kanda
ya Nyasa, Emmanuel Masonga wameachiwa huru kutoka Gereza Kuu la Ruanda mkoani
Mbeya ambapo walikuwa wanatumikia kifungo cha miezi 5.
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amethibitisha kuachiwa kwa
Viongozi hao wawili na tayari Sugu ameshafika nyumbani kwake.
Wengine waliofika gerezani kumpokea ni Meya wa Jiji la Mbeya, Mchungaji
David Mwashilindi na madiwani, Mbunge wa Viti Maalumu, Sophia Mwakagenda
No comments:
Post a Comment