MWANAMKE NA UJASIRIAMALI
MAFUNZO YA UJASILIAMALI KWA WANAWAKE YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM.
Mkurugenzi wa Hope Art Factory Hellen Tegga akizungumza katika mafunzo ya wanawake juu ya ujasiliamali na kupaza sauti yaliyofanyika Millenium Tower jijini Dar es Salaam.
Mratibu wa Mfuko Graca Machel , Manuel Akinyi akitoa mada katika mafunzo ya wanawake juu ya ujasiliamali na kupaza sauti yaliyofanyika Millenium Tower jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Hope Art Factory ,Hellen Tegga akimkabidhi cheti cha ushiriki wa mafunzo ya wanawake ya Ujasiliamali , Ainde Ndanshau yaliyofanyika katika ukumbi wa Milllenium Tower jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Hope Art Factory ,Hellen Tegga akimkabidhi cheti cha ushiriki wa mafunzo ya wanawake ya Ujasiliamali , Mrcy Mchechu yaliyofanyika katika ukumbi wa Milllenium Tower jijini Dar es Salaam.
Washiriki wakiwa katika mafunzo ya wanawake yaliofanyika katika ukumbi wa Milleniumm Tower jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii)
Picha ya pamoja.
SOURCE: MICHUZI BLOG
About Author Matukio360
Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.
No comments:
Post a Comment