BREAKING NEWS !! MAGUFULI APANGUA MAKATIBU WAKUU; PROF. KITILA MKUMBO KATIBU MKUU MPYA MAJI NA UMWAGILIAJI !!


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo amefanya mabadiliko madogo katika safu ya Makatibu Wakuu wa Wizara mbali mbali na kumteua Prof. Kitila Mkumbo kuwa Katibu Mkuu mpya  Wizara ya Maji na Umwagiliaji na kuwahamisha wengine.


Kwa mujibu wa Taarifa rasmi iliyosainiwa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu mabadiliko haya yanaanza mara moja na wateule wapya wataapishwa kesho Ikulu jijini Dar es Salaam.


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search