KAMA ULIPITWA NA AHADI YA MKUU WA MKOA NDUGU PAUL MAKONDA YA KUMPATA ROMA NDANI YA MDA MFUPI MSIKILIZE HAPA
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ameoneshwa kusikitishwa sana na kupotea kwa msanii Roma Mkatoliki na kuahidi kuwa atahakikisha anampata kabla ya Jumatatu.
Ameongea hayo kwa baadhi ya waandishi wa habari waliomfuata ofisini kwake na kutaka kujua kuhusu msimamo wake juu ya hili swala msikilize hapa chini.
Ameongea hayo kwa baadhi ya waandishi wa habari waliomfuata ofisini kwake na kutaka kujua kuhusu msimamo wake juu ya hili swala msikilize hapa chini.



No comments:
Post a Comment