Kama ulipitwa na hii ya Mchungaji Gwajima kumtaka Halima Mdee kuomba msamaha.. Isikie hapa

Mambo matatu aliyoyaongea Askofu Gwajima leo kanisani kwake ni pamoja swala la Mbunge wa Kawe Halima Mdee kutumia lugha isiyostahili kwa Spika wa Bunge, Askofu Gwajima amesema ili Tanzania iende sawa lazima Halima aombe msamaha.



No comments:
Post a Comment