LIVE !! MTIFUANO BUNGENI - UCHAGUZI WA BUNGE LA AFRICA MASHARIKI (EALA)

Kumekuwa na majibizano makali ya hoja kati ya pande mbili bungeni jioni hii juu ya uhalali wa baadhi ya wagombea walioteuliwa na msimamizi wa Uchagugi wa Bunge la Africa Mashariki kutokana na kuwepo kwa mashauri Mahakamani juu ya uhalali wa vyama vyao, ambapo utata ulimalizwa kwa kusomwa miongozo kutoka Tume ya Uchaguzi ambao ndio Washauri wakuu wa sifa za Wagombea.
usikose kufuatilia mubashara yanayoendelea bungeni kupitilia kiunganishi chako www.tanzaniampyamatukio.blogspot.com


  1. New

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search