MAFUTA YA ALIZETI 'SAFI' TFDA YATOLEA UFAFANUZI HABARI ZILIZOENEA KUHUSU CHEMBE CHEMBE HATARISHI !


Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini (TFDA), imewatoa wasiwasi watumiaji wa Mafuta ya Alizeti kuwa hayana madhara kama inavyozushwa.

Uchambuzi  huo umebaini kuwa utafiti huo ulihusu mbegu za alizeti na mashudu pekee hivyo hautoshelezi kuthibitisha kuwa mafuta ya Alizeti yanachafuliwa na Aflatoxins kwa kiwango hatarishi.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search