ROMA MKATOLIKI AMNYANYUA 'SUGU' ASEMA SI WAKATI WA KUKAA KIMYA!

April 8, 2017 Waziri kivuli wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Joseph Mbilinyi maarufu Sugu ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya mjini amekutana na Waandishi wa habari Dodoma na kuzungumzia baadhi ya matukio yanayoendelea hivi sasa nchini ikiwemo tukio la tuhuma za kutekwa kwa msanii Roma Mkatoliki na mengine yaliyowatokea Nape Nnauye na Nay wa Mitego.

Full video nimekuwekea hapa chini tayari…
Source: millardayo

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search