SIKILIZA ALICHOSEMA MHE RIDHIWANI KUFUATIA KUTUHUMIWA KWA MANJI!


 Leo April 23 2017 Ridhiwani Kikwete ambaye ni Mbunge wa Chalinze amezungumzia swala la Yusuph Manji ambaye alikamatwa kwa ajili ishu ya matumizi ya Dawa za Kulevya.

‘Sioni kama ni sawa kumkamata Yusuph Manji kuwa anatumia dawa za kulevya wakati kuna watu kama Ray C na kuna wengine wanapanga mstari kila siku Mwananyamala kwa ajili ya kuchukua Methadone’>>>Riddhiwani Kikwete.

Ayo tv

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search