#Benki ya NMB Yanogesha Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Mkoani Geita.

Maandamano yakiwa yamesindikizwa na Askari wa usalama Barabarani pamoja na vijana wa Skauti Wilayani Mbongwe Mkoani Geita. |
Vijana wa Skauti wakionesha ukakamavu wakati walipokuwa wakimpokea Mgeni Rasmi katika shughuli ya siku ya wauguzi Duniani. |
Burudani ya Ngoma na michezo mbali mbali vikiendelea kwenye viwanja vya shule ya msingi Mbongwe. |
Vijana wa Skauti wakiingia uwanjani kwaajili ya kuonesha shughuli za ukakamavu ambazo wamekuwa wakijifunza . |
Baadhi ya wadau mbali mbali wakiwemo wauguzi wakiangalia Gwalide kutoka kwa Skauti. |
Wauguzi wakisoma kiapo cha uadilifu wakati wa shughuli za maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani. |
Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga akizungumza na wauguzi pamoja na wananchi juu ya umuhimu wa siku hiyo. |
Wananchi wakifuatilia Hotuba ya Mgeni Rasmi. |
No comments:
Post a Comment