Breaking News: Benki ya FBME 'majanga'... yatangazwa muflisi, yafutiwa leseni zote: BOT yaiweka chini ya muflisi ya Bodi ya Bima ya Amana(DIB) !!
Kuanzia tarehe 8 Mei, 2017, Benki Kuu ya Tanzania imesimamisha shughuli zote za FBME Bank Ltd, na imefuta leseni yake ya kufanya shughuli za kibenki na kuiweka chini ya ufilisi.
Aidha katika hatua hiyo BOT imeiteua Bodi ya Bima ya Amana kama mfilisi kuanzia leo tarehe 8 Mei, 2017.
Hata hivyo BOT imewatoa shaka wenye amana, wadai na wadaiwa wawe wavumilivu wakati Mfilisi akiandaa utaratibu wa kushughulikia stahiki zao.
Endelea kufuatana nasi tukikuletea maelezo zaidi kuhusu hali halisi..
Aidha katika hatua hiyo BOT imeiteua Bodi ya Bima ya Amana kama mfilisi kuanzia leo tarehe 8 Mei, 2017.
Hata hivyo BOT imewatoa shaka wenye amana, wadai na wadaiwa wawe wavumilivu wakati Mfilisi akiandaa utaratibu wa kushughulikia stahiki zao.
Endelea kufuatana nasi tukikuletea maelezo zaidi kuhusu hali halisi..
No comments:
Post a Comment