FIFA yasema Uhamisho wa Pogba ‘wizi mtupu’


Chama cha soka Ulimwenguni yaani FIFA hii kimeitisha na kupitia stakabadhi zote za uhamisho na kuthibitisha suala la usajili la Paul Pogba kutoka Juventus kwenda Man Utd majira ya joto mwaka jana kwa ada ya uamisho ya paund million 89 lilikuwa na taarifa nying za Udanganyifu kwenye suala zima la usajili.


FIFA imesema leo kuwa uchunguzi unaendelea na ukikamilika na kubainika kuna njama zozote zilizofanywa na MAN UTD haitasita kuishushia ‘Panga Kali’ klabu hiyo likiwemo la kufungiwa kufanya usajili mpya wa wachezaji.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search