Wizara yakanusha Taarifa iliyoenea kuhusu Uhakiki wa Vyeti kwa Taasisi za Elimu ya Juu Nchini.


Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekanusha vikali uvumi ulioenea mtandaoni kuhusu kilichotajwa kuwa ni Takwimu za Uhakiki na matokeo yake kwa Taasisi za Elimu ya ju Nchini.
Katika taarifa rasmi iliyosainiwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Akwilapo na kusambazwa jioni hii, Wizara iwewatahadharisha wananchi juu ya kutumia mitandao ya kijamii kusambaza taarifa za uzushi zinazosababisha usumbufu kwa jamii.
Nimekuekea Taarifa rasmi ya Wizara hapa chini..
Fuatana nasi...

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search