10 News !! Maalim Seif 'atema cheche' asema si Lipumba.. bali ni Mungu tu ndie anaeweza kuzuia haki isipatikane.. #share.. BASATA nao wamkana Ray Vanny !!
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Maalim seif Sharif Hamad, amefunguka mengi yanayokihusu chama na mustakabali wake kufuatia maamuzi ya RITA ya hivi karibuni ya kuitambua rasmi Bodi ya chama cha CUF iliyo chini ya Profesa Lipumba.
Akiongea na Waandishi wa Habari Mchana huu Jijini Dar es Salaam, Maalim amesema mambo yote yanayojitokeza yana majibu ya kisheria, na chama chake hususan kambi iliyo chini yake imejiandaa kuyamaliza kwa njia za Kimahakama, na kwamba kwa hatua walizozifikia ni Mwenyezi Mungu tu ndio anaeweza kuzuia haki isipatikane na si Lipumba na genge lake!!
Chama chama CUF kimeingia kwenye Mtafaruku mkubwa kufuatia maamuzi ya Lipumba kujiuzulu kwa hiari na kisha kurudia nafasi yake ya Uenyekiti wa Chama kufuatia 'kwenda fyongo' kwa Mikakati, na Matokeo mabaya ya chama chao katika uchaguzi uliopita..
Akifafanua zaidi Maalim alisema, kwa katiba na misingi ya chama anaamini bodi ya ni feki kwa vile mamlaka kamili ya uteuzi wa Baraza hilo yapo chini ya mamlaka ya Baraza Kuu, na si chini ya Lipumba ambae licha ya kuwa si Mwenyekiti wa CUF, lakini pia si mwananchama wa chama hicho.
Akiongea na Waandishi wa Habari Mchana huu Jijini Dar es Salaam, Maalim amesema mambo yote yanayojitokeza yana majibu ya kisheria, na chama chake hususan kambi iliyo chini yake imejiandaa kuyamaliza kwa njia za Kimahakama, na kwamba kwa hatua walizozifikia ni Mwenyezi Mungu tu ndio anaeweza kuzuia haki isipatikane na si Lipumba na genge lake!!
Chama chama CUF kimeingia kwenye Mtafaruku mkubwa kufuatia maamuzi ya Lipumba kujiuzulu kwa hiari na kisha kurudia nafasi yake ya Uenyekiti wa Chama kufuatia 'kwenda fyongo' kwa Mikakati, na Matokeo mabaya ya chama chao katika uchaguzi uliopita..
Akifafanua zaidi Maalim alisema, kwa katiba na misingi ya chama anaamini bodi ya ni feki kwa vile mamlaka kamili ya uteuzi wa Baraza hilo yapo chini ya mamlaka ya Baraza Kuu, na si chini ya Lipumba ambae licha ya kuwa si Mwenyekiti wa CUF, lakini pia si mwananchama wa chama hicho.
"Sisi hatutovunjika moyo na maamuzi yoyote ya mahakama, sisi tuko makini, fujo hatutaki lakini tunataka kufuata sheria za nchi"-Maalim Seif pic.twitter.com/62YBvaKwOw— millard ayo (@millardayo) June 28, 2017
#HABARI Rais Magufuli anatarajiwa kufungua maonyesho ya 41 ya biashara ya kimataifa ya DSM maarufu kama Sabasaba Julai mosi mwaka huu. pic.twitter.com/ug0BmxWFsQ— East Africa Radio (@earadiofm) June 28, 2017
Rais wa Shirikisho la soka Tanzania TFF Jamali Malinzi na Katibu Mkuu wake wanahojiwa na TAKUKURU kwa tuhuma za matumizi mabaya ya Ofisi. pic.twitter.com/47MJOatbXC— Radio One Stereo (@RadioOneStereo) June 28, 2017
PCCB holding #Tanzania Football Federation President Jamal Malinzi, Sec. Gen. Celestine Mwesigwa for allegedly abuse of office #MWANANCHI— Bakari Machumu (@bmachumu) June 28, 2017
Rais Trump aligeuka gumzo baada ya kusitisha simu aliyokuwa anaongea na kiongozi mpya wa Ireland na kusifia tabasamu la mwandishi wa habari. pic.twitter.com/QYAo5Y4Gfc— millard ayo (@millardayo) June 28, 2017
#HABARI Rais Magufuli, anatarajiwa kufungua Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa ya DSM maarufu kama Sababsaba Julai Mosi mwaka huu. pic.twitter.com/1618mYlQjf— AzamTV (@azamtvtz) June 28, 2017
Tanzania yapiga marufuku uuzaji wa mahindi nje https://t.co/HKCOlJyFbt— bbcswahili (@bbcswahili) June 28, 2017
Everton Ni Klabu Ya Kwanza Kushinda #EuropeanCup 1970 Kwa Mikwaju Ya Penalty, Hivi Ilikua Dhidi Ya Klabu Gani?#EvertonInTZ #MadeOfWinners pic.twitter.com/mRBHMCIk0o— Salama Zalhata Jabir (@EceJay) June 28, 2017
BASATA wasema hawawezi kumpatia @Rayvanny mapokezi ya heshima kwani hawana taarifa rasmi za ujio wake na hata alipoondoka hakuaga- MWANANCHI pic.twitter.com/6CQAaJaX0h— Swahili Times (@swahilitimes) June 28, 2017
Mshindi wa tuzo ya #BET katika kipengele cha #BestNewInternationaAct, mwanamuziki @Rayvanny anatarajiwa kuwasili nchini leo saa nane mchana. pic.twitter.com/OVqQ9WGtLs— Swahili Times (@swahilitimes) June 28, 2017
Uhuru launches Ksh15 billion KBL brewing plant https://t.co/PKTPH7qtRY pic.twitter.com/ORtZ0z8M69— Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) June 28, 2017
No comments:
Post a Comment