Breaking News!! JPM aridhia Jaji Malecela wa Mahakama Kuu kujiuzulu.. Obasanjo nae asema "Magufuli safii !!"

Rais Mstaafu wa Nigeria Generali Olusegun Obasanjo ametua Ikulu Jijini Dar es Salaam na kumwaga sifa 'kedekede' kwa Mhe. Rais John Pombe Magufuli, kwa utendaji wake kazi na kuipaisha Tanzania kiuchumi.. na kuifanya yake mfano bora wa kuigwa barani Afrika.

Katika hatua nyengine, rais Magufuli ameridhia ombi la Mhe. Mwendwa Judith Malecela, Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania kujiuzulu wadhifa  wake kuanzia leo 20/06/2017.

Matukio blog inakusogezea waraka kutoka Ikulu Jijini Dar es Salaam, usipitwe na yanayojiri..



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimlaki Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olusegun Obasanjo aliyemtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 20, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olusegun Obasanjo aliyemtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 20, 2017



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimsindikiza Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olusegun Obasanjo baada ya kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 20, 201

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search