Breaking News!! Ripoti ya Pili 'Mchanga wa Dhahabu' yaiva #Share.. Itakabidhiwa J'tatu..

Kuna Taarifa ya kukamilika kwa 'Ripoti ya Pili' ya Mchanga wa Madini iliyojumuisha Wanasheria na Wachumi kufuatilia thamani ya Madini yaliyomo kwenye Mchanga wa Madini unaosafirishwa, sambamba na ile ya kwanza iliyogeuka kuwa chungu na kupelekea Waziri muhusika Profesa Muhongo kupoteza nafasi yake ya uwaziri!
Kwa mujibu ya taarifa kutoka Ikulu Ripoti hiyo itawasilishwa siku ya J'tatu tarehe 12/6/2017 na imewakaribisha wananchi kufuatilia moja kwa moja tukio hilo likalorushwa na Televisheni kutokea Ikulu Jijini Dar es Salaam.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search